Maalim Seif ajipa matumaini





Tangu kufutwa kwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 28, 2015, Maalim Seif amekuwa akitoa kauli za matumaini akisema: “Mambo yaelekea kuwa mazuri.”
Hata hivyo, Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein aliyeshinda katika uchaguzi wa marudio wa Machi 20, 2016 ambao Maalim Seif aligoma kushiriki, amekuwa akisema kwamba hakuna mtu yeyote anayeweza kumwondoa madarakani, awe wa ndani au nje ya nchi.
Akizungumza katika kipindi cha Funguka kinachoendeshwa na Tido Mhando kupitia Kituo cha Televisheni cha Azam, Maalim Seif alisema wananchi wasifikiri kuwa mataifa hayo yamenyamaza, bali suala hilo litapatiwa ufumbuzi na atapata haki yake hivi karibuni.

Related

siasa 4927762288630336323

Post a Comment

emo-but-icon

item
Kicbjamii