Rama Dee: 'Lowasa Anapaswa Apumzike Awaachie Watu Wafanye Kazi'

Msanii wa rnb Rama Dee wakati akihojiwa kwenye kikaangoni eatv, ametoa ushauri kwa Lowassa juu ya uhusikaji wake kwenye siasa,

"Lowasa anapaswa apumzike awaachie watu wafanye Nazi, kwa kawaida wazee wetu wakifika miaka 55 au 60 ni umri wa kupumzika"

Related

siasa 6829165421399663149

Post a Comment

emo-but-icon

item
Kicbjamii