Shehena ya viroba yakamatwa Temeke



Picha ya mtandao


  Shehena ya viroba imekamatwa leo (Alhamisi) katika kiwanda cha Global Ltd kilichopo Temeke, wakati wa operasheni ya kukamata vinywaji vilivyofungashwa kwenye pakiti  maarufu viroba inayoendelea jijini hapa.
Polisi walilazimika kuingia kwa nguvu na kukuta katoni 12,000 za viroba kwenye kiwanda hicho.    
 Mkuu wa operasheni hiyo,  Inspekta Aron Nzala amesema viroba hivyo lazima viharibiwe.

Related

uchumi na biashara 624650257029352286

Post a Comment

emo-but-icon

item
Kicbjamii