Rais awaagiza mawaziri kuwapa ajira wazawa ujenzi wa reli ya Pugu




Rais John Magufuli
Rais John Magufuli 

Rais John Magufuli amewaagiza mawaziri kuhakikisha ajira zitakazopatikana wakati wa ujenzi  wa reli ya kiwango cha juu, (standard gauge)zinatolewa kwa wazawa wa eneo hilo la Pugu.
Rais amezindua ujenzi wa reli hiyo leo, akisindikizwa na mawaziri, wabia na baadhi ya mashirika ya kimataifa yanayosaidia katika ujenzi huo.
Katika uzinduzi huo, Rais alisema Sh 300 bilioni zimetolewa kama malipo ya awali kwa mkandarasi kwa ajili ya kujenga reli hiyo kwa kiwango cha kimataifa.

Related

kitaifa 298924850896330856

Post a Comment

emo-but-icon

item
Kicbjamii