Bunge lafuta maneno kwenye hotuba ya Sugu kabla ya kusomwa

http://maisharaisi.blogspot.com/2017/05/bunge-lafuta-maneno-kwenye-hotuba-ya.html

Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu'
Zungu ametoa uamuzi huo leo asubuhi baada ya kipindi cha maswali na majibu, hata kabla ya bajeti yenyewe kuwakilishwa na Waziri Dk Harrison Mwakyembe.
Zungu amesema amezipitia hotuba zote na kubaini kuwa ile ya upinzani itakayowasilishwa na Joseph Mbilinyi 'Sugu' ina masuala yaliyopo mahakamani ambayo yamekwishazuiliwa katika bajeti zilizotangulia.
Amesema maneno yenye mwelekeo huo yakisomwa atachukua hatua.