ligi bora inazaa Stars bora





Kiungo wa zamani wa Taifa Stars, Adolf Rishard amefichua kwamba timu kiwango cha timu ya Taifa kitategemea ubora wa Ligi Kuu Bara (VPL).
Rishard amesema ushindani wa kweli ndiyo utakaozalisha wachezaji ambao wataleta maendeleo kwenye timu ya taifa vinginevyo kitakachokuwa kinafanyika ni pata potea.
"Kuna wakati ambapo makocha wanaweza kubeba lawama ambazo haziwahusu, ligi inaendelea na kila mtu anakiona kinachofanyika na wachezaji ambao wataitwa kwa ajili ya michuano ya CHAN na AFCON ni hao, hao na siku akikosekana Mbwana Samatta, Watanzania wanaona ndiyo basi tena," anasema nyota huyo ambaye alikuwepo kwenye kikosi cha Stars kilichoshiriki michuano ya Mataifa ya Afrika mwaka 1980.

Related

michezo na burudani 3464675478980286303

Post a Comment

emo-but-icon

item
Kicbjamii