Dahoud kutimikia Dortmund


  Kiungo wa Borussia Monchengladbach, 
Mahmoud Dahoud inadaiwa  kujiunga na Borussia Dortmund licha ya kufukuziwa na kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp kwa muda mrefu.
Dahoud, 21, ambaye ni mzaliwa wa Syria aliyekulia Ujerumani, anatajwa kuwa mmoja kati ya viungo bora wanaokuja juu katika soka la Ujerumani kwa sasa na anatarajiwa kuondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu huu.

Related

michezo na burudani 6350095128443125747

Post a Comment

emo-but-icon

item
Kicbjamii