Utendaji wa maofisa ugani kudhibitiwa.


Hai. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Said Sadiki amewataka wakuu wa wilaya na wakurugenzi kuwasimamia maofisa ugani ili wawasaidie wakulima wa kahawa kutumia miche bora.
Sadiki alisema maofisa hao wana wajibu wa kuwasimamia wakulima na kuwaelekeza kutumia miche  inayozalishwa na Kituo cha Utafiti wa Kahawa (Tacri) ili kulirejesha zao hilo katika hali yake ya zamani.
Mkuu huyo wa mkoa alisema hayo jana alipokitembelea kituo hicho kinachozalisha aina 19 ya miche  bora ya kahawa ambayo  haishambuliwi na magonjwa.

Related

maisharaisi 6493227913049846751

Post a Comment

emo-but-icon

item
Kicbjamii