NAPE ALIVYOJITABIRIA KUVULIWA UWAZIRI WA HABARI
http://maisharaisi.blogspot.com/2017/03/nape-alivyojitabiria-kuvuliwa-uwaziri.html
Mtu anapopatwa na jambo, ni kawaida ya binadamu kuangalia mambo au kauli zake alizokuwa akitoa kabla ya kufikwa na tukio hilo.Mara nyingi mambo au kauli hizo huonyesha kama vile alikuwa akiona tukio likimjia au kumtokea.
Unaporejea kauli za hivi karibuni za Nape Nnauye, unaona dhahiri kuwa alikuwa kama anaona kinachokuja na kujitabiria kuwa angevuliwa uwaziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo... Soma zaidi hapa http://www.mwananchi.co.tz/…/1597578-3862666-le2…/index.html