Rais JPM awaapisha mawaziri wapya
http://maisharaisi.blogspot.com/2017/03/rais-jpm-awaapisha-mawaziri-wapya.html
Mawaziri walioapishwa leo ni Profesa Palamagamba Kabudi,aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Sheria na Katiba na Harrison Mwakyembe aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Profesa Kabudi anaenda kuongoza wizara iliyokuwa ikiongozwa na Dk Mwakyembe
Wakati Mwakyembe anashika nafasi ya Nape Nnauye aliyebadilishwa hivi karibuni.