‘Padri’ Karugendo afunga ndoa



Privatus Karugendo akiwa na mkewe Rose Birusya
Privatus Karugendo akiwa na mkewe Rose Birusya baada ya kufunga ndoa katika Kanisa la Mtakatifu Petro jijini Dar es Salaam. 

 Miaka tisa baada ya kuvuliwa daraja la upadri wa Kanisa Katoliki, mchambuzi wa masuala ya kisiasa na kijamii, Privatus Karugendo amefunga ndoa na Rose Birusya.
Ndoa hiyo ilifungwa jana katika Kanisa la Mtakatifu Petro jijini hapa katika misa iliyoongozwa na Padri Stefano Kaombe.
Mapadri wa Kanisa Katoliki hawaruhusiwi kuoa na wanapoachishwa husubiri kibali maalumu kutoka kwa kiongozi wa kanisa hilo duniani.




Related

kitaifa 6690042136279228478

Post a Comment

emo-but-icon

item
Kicbjamii