Aliyekuwa RC wa Ruvuma afariki dunia leo
 
http://maisharaisi.blogspot.com/2017/05/aliyekuwa-rc-wa-ruvuma-afariki-dunia-leo.html

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu 
 Mdogo wa marehemu, Shaibu Mwambungu amesema kaka yake alifariki dunia jana asubuhi baada ya hali yake kubadilika ghafla akiwa hospitalini hapo.
Shaib amesema taratibu za mazishi zitatolewa baadaye ambapo kwa sasa anajiandaa  kusafiri kutoka Songea  kuja jijini Dar es salam kwa ajili ya mazishi. 
