Aliyekuwa RC wa Ruvuma afariki dunia leo


Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu 

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu amefariki dunia jana saa nne asubuhi katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)
 Mdogo wa marehemu, Shaibu Mwambungu amesema kaka yake alifariki dunia jana asubuhi baada ya hali yake kubadilika ghafla akiwa hospitalini hapo.
Shaib amesema taratibu za mazishi zitatolewa baadaye ambapo kwa sasa anajiandaa  kusafiri kutoka Songea  kuja jijini Dar es salam kwa ajili ya mazishi. 

Related

siasa 7393242634765915906

Post a Comment

emo-but-icon

item
Kicbjamii