CAF yasaka vijeba Serengeti Boys

http://maisharaisi.blogspot.com/2017/05/caf-yasaka-vijeba-serengeti-boys.html
Vipimo hivyo ni maalumu kwa ajili ya kutambua umri wa wachezaji hao.
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi alisema CAF ilifanya vipimo hivyo juzi na inatarajia kutoa majibu wakati wowote.
"Wameshapimwa na tunasuburi majibu wakati wowote, nikijulishwa nitakwambia,"alisema Malinzi alipohojiwa na mtandao huu.
Serengeti Boys imepangwa Kundi B katika fainali hizo ikiwa na timu za Mali, Angola na Niger na inatarajia kucheza mechi ya kwanza dhidi ya Mali