Vituo vya mafuta kuendelea kufungwa
http://maisharaisi.blogspot.com/2017/07/vituo-vya-mafuta-kuendelea-kufungwa.html
Hatua hiyo inayotekelezwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeelezwa kuwaathiri si tu wenye vituo bali hata watumiaji.
Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa TRA, Richard Kayombo amesema leo Julai 14 na kuongeza kwamba wanaendelea na kazi hiyo nchi nzima ili kuhakikisha sheria inatekelezwa.