Mrisho Gambo msibani kwa Leyla Mtumwa
http://maisharaisi.blogspot.com/2018/04/mrisho-gambo-msibani-kwa-leyla-mtumwa.html
Leyla anadaiwa kuchomwa visu hadi kufa Machi 30 mwaka huu na mume wake, Kema Kasambula, nyumbani kwa wanandoa hao, Kirkstall Avenue, Haringey, Uingereza.
Mwili wa Leyla, uliwasili jana ukitokea Uingereza na anatarajiwa kuzikwa leo jioni mjini hapo.
Kwa sasa, kisomo cha hitma kinaendelea nyumbani kwao, eneo la Kaloleni, Arusha.